const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); TZTOWN TV: Milioni 106 zatolewa kwa vijana na wakinamama wengine wasema elimu inahitajika - HABARI MPYA

..

TZTOWN TV: Milioni 106 zatolewa kwa vijana na wakinamama wengine wasema elimu inahitajika


BAADHI ya wakazi mjini Njombe wasmekosoa mfumo wa utoaji wa mikopo kwa vikunndi vya wakina mama na Vijana kutokakatika mapato ya halmashauri yaliyo kusanywa kwa muda wa robo ya kila mwaka wa fedha ikiwa ni asilimia kumi ya makusanyo.

Wanasema kuwa utoaji wa mikopo hiyo kwa vikundi umejaa Usiri pamoja na kudaiwa kuwa elimu kwa vigundi na vijana haijatolewa ili kuvijua vigezo vya kupata mikopo hiyo.
Wakizungumzia utoaji wa mikopo hiyo Mbele ya Kamera Tz Town Tv kwa vijana na wakina mama baadhi ya wakazi wa mji huu wanasema kuwa wanahitaji mikopo hiyo lakini jinsi ya kupata ni kiza.

Licha ya kudaiwa kuto kuwapo kwa elimu kwa wanufaika wa mikopo na kuto jua jinsi ya kuipata halmashauri ya mji wa Njombe imetoa Mkopo kwa vikundi 51 wenye thamani ya milioni 106 ikiwa ni asilimia kumi tu ya mapato yake kwa robo hii.
Wananchi wanahimizwa kulipa kodi ili asilimia hizo kupatikana wito ambao unatolewa na mwenye halmashauri hiyo ambapo anakabidhi hundi hiyo ya zaidi ya milioni 100. 

Wanaochukua mkopo huu kupitia Saccos za za maeneo yao wanasema Mbele ya kamera ya TzTown Tv hapo chini

TAZAMA VIDEO HAPA CHINI VIJANA WAPOKEA MAMILIONI..............

Related Posts

Post a Comment