..
Showing posts with the label TzTown Tv
Madiwani watatu watolewa barazani, Njombe
UJENZI STENDI KUU NJOMBE WAKWAMA
MAONI MAHINDI KUUZWA NJE
MKURUGENZI WA TAASISI YA HAGAFILOCOLLEGE OF DEVELOPMENT MANAGEMENT CODEM...
VIDEO -MACHINGA WATOLEWA STANDI YA MKOA WA NJOMBE
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!! LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZAIDII
VIDEO-MTAA WA KIHESA MKOANI NJOMBE KUJENGWA KITUO CHA AFYAA
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!! LIKE PAGE YETU KWA HABARI ZAIDII
TzTown Tv: 'DC Kasesela' WAKULIMA WAMEACHA KUUZA LUMBESASA SASA WANAWEKA KATOTO NI HASARA YA
ZAIDI ya asilimia 20 mpaka 30 ya mavuno ya viazi kwa gunia moja ndani ya msimu huwa ni hasara kwa mkulima kutokana na Lumbesa ambazo huwa zinafungaswa vijijini ambako wafanyabiashara wananunua viaz…
TzTown Tv: Tazama alicho kisema makinda Eti wabongo wanamaneno
WATANZANIA wamedaiwa kuwa na maneno mengi na kukwamishwa maendeleo ya viwanda hapa nchini ukilinganisha na nchi za jilani kama Rwanda zilizopiga hatua katika maendeleo ya viwanda kutokana na ku…
KIWANDA CHAKOSA MARIGHAFI NI CHA MAFUTA YA MIONZI
KIWANDA kinacho tengeneza mafuta ya kukinga mionzi ya Jua kwa watu wenye Ualbino cha Mjini Moshi kinakabiliwa na changamoto ya kupata marighafi kwaajili ya utengenezwaji wa Mafuta hayo ambayo yanag…
TzTown Tv: KATA ZINAKOSA MAJI LICHA YA KUWAPO KWA VYANZO VINGI VYA MAJI MKOANI HUMO
LICHA ya kuwapo kwa vyanzo vingi vya maji mkoani Njombe bado baadhi ya kata zinachangamoto ya maji huku kukidaiwa mbinu za muda mfupi na kutatua changamoto kwa presha ni chanzo cha changamoto hiyo …
TzTown Tv: SOKO LA KAHAWA NJOMBE LAPATIKANA BRAZIL
WAKAZI mkoani Njombe wamedaiwa kuvuna miti michanga kutokana na kuto kuwa na mazao ya kibiashara ambayo yanaweza kuendesha maisha wakati wakisubiri miti yao kukomaa kitu kinacho sababisha kuingiza …
TzTown Tv: CHUMBA CHA UPASUAJI CHAJENGWA UWEMBA NI FARAJA KWA WAKAZI
WAKINAMAMA wakazi wa kata ya Uwemba halmashauri ya Mji Njombe wamesema kuwa wamekuwa wakifuata Mbali huduma za Upasuaji na wengine kujifungulia Njiani wakati wafufuata huduma hiyo huku baadhi yao w…
TzTown Tv: SHAHIDI HULIPWA BAADA YA USHAHIDI TAZAMA VIDEO YA UFAFANUZI...
MAHAKAMA ya hakimu Mkazi Njombe imefanikiwa kuzimaleza kesi zake nyingi ndani ya miezi Chini ya 9 na huku zilizozidi muda mrefu ni miezi 12 ambazo zilifunguliwa Mwishoni mwa mwaka jana. Mikakati …
TzTown Tv: POLISI NJOMBE WAWATIA MBARONI WATU 64 KWA UZURURAJI, ULEVI, USALAMA BARABARANI
JESHI la polisi Mkoani Njombe linawashikilia watu 64 wakiokamatwa katika msako wao wa wazururaji na wale wenye makosa mbalimbali katika stendi ya Mkoa wa Njombe na virabu vya mjini na kusababisha h…
TzTown Tv: Tazama watoto wakieleza kilicho wapata baada ya kuzimia na nini kimesababisha wazimie
WAZAZI wa watoto wa shule ya Msingi Igola Halamashauri ya Mji Njombe wilayani na mkoa wa Njombe wamelalamikiwa kuwashawishi na kuwanyesha dawa watoto wao kuanguka kanakwamba wanamapepo ili kupata f…
TzTown Tv: Marufuku kuharibu misitu ya asili
Serikali wilayani Njombe imepiga marufuku uharibifu wa misitu ya asili pamoja na vyanzo vya maji kutokana na kuwepo kwa baadhi ya wananchi wanaofanya shughuli za kilimo katikati ya misitu mikubwa n…
TzTown Tv: Wazazi wikwazo kesi za ubakaji Njombe
MAAFISA ustawi wa jamii Mkoani Njombe wameiomba jamii kutoa ushirikiano pale kunapo kuwa na kesi mahakamani inayo husu mtoto ili haki kupatikana kwa wakati licha ya kudaiwa kuwa wazazi ndio vikwaz…
LIVE............Mubashara Tazama Paulo Makonda akizungumza Live
TzTown Tv: WAZAZI WATAKIWA KUWATOA WATOTO KWENYE NICHEZO
WAKAZI mkoani Njombe wametakiwa kuwafichua watoto wenye matatizo maalum wakiwemo wenye utindio wa Ubongo ili kushirika katika michezo ya watu wenye mahitaji maalum yanayo tarajia kufanyioka kitaifa…
const adkPushParams = {
host: 'push.bvsrv.com',
channelId: 128,
pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4'
};
importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js');
POPULAR POSTS
- Gigy Money: Wema Sepetu ni Mwanamke Feki (Video)
- MAMBO YA KUZINGATIA KABLA NA BAADA YA KUNG'OA JINO
- VIDEO: Maajabu, Mwanaume Ajifungua Mtoto Nchini Marekani Kwa Kupitia Uume Wake
- RONALDO ATHIBITISHA JUU YA TETESI ZA MPENZI WAKE KUWA NA UJAUZITO WA MTOTO WA NNE
- MITINDO YA NYWELE KWA KINA DADA
- Idris Sultan asimulia nafasi aliyocheza kwenye filamu ya Kiumeni
- Sasa Unaweza Kurudisha Files Ulizofuta kwa Bahati Mbaya Katika Simu Yako!
- TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI HAPA BOFYA JUU YA SHULE YA MWANAO
- MAPIPA YA SUMU YADAKWA MGODINI HUKO MKOANI MOROGORO