const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); TzTown Tv: WAZAZI WATAKIWA KUWATOA WATOTO KWENYE NICHEZO - HABARI MPYA

..

TzTown Tv: WAZAZI WATAKIWA KUWATOA WATOTO KWENYE NICHEZO

Post a Comment
WAKAZI mkoani Njombe wametakiwa kuwafichua watoto wenye matatizo maalum wakiwemo wenye utindio wa Ubongo ili kushirika katika michezo ya watu wenye mahitaji maalum yanayo tarajia kufanyioka kitaifa Zanzibar mwezi septemba baada ya kufanyika mashindamo mbalimbali katika mikoa.
WanaombWa ombi hilo ili kupata timu ya mkoa ya wato wenye ulemavu wa akili ili kwenda kushiriki katika mashindano ya michezo mbalimbali ya watu hao. 
Mratibu wa Special Olympic mkoa wa Njombe anasema kuwa ili kwenda Zanzibar waalimu wa michezo kwa watoto hao wamepatiwa mafunzo mkoani Njombe.
Serikali inasema kuwa inampango wa kuwaleta pamoja watoto wenye ulemavu na wengine ili kupata fursa za michezo pamoja, Huku makocha wakisema kuwa wamejichunza jinsi ya kuwaelewa na kuwafundisha michezo.
WENYE ULEMAVU WANAHAKI YA KUCHEZA TAZAMA WAKIKIMBIA MBIO NA KUCHEZA MPIRA................

Related Posts

Post a Comment