Baada ya fununu za bosi wake kurudiana na Wema Sepetu, Huku Harmonize naye amezusha lake kuwa hawezi mwacha mzungu wake kwani kwake ndiyo ameshafika hawezi toka hata kidogo, Daah hawa jamaa sijui aliyewaroga
kapotelea waapi, Diamond Platinumz naye alishawahi sema hayo maneno lakini kwa sasa sijui amesahau nini na amerudi kwa bidada wake Zilipendwa Wema Sepetu…!!
Post a Comment
Post a Comment