Ama kweli usimwamini mtu yeyote labla ni ni mama yako mzazi tu, kwenye suala lolote la mslahi, yaani huwezi amini mama Diamond Platinumz amefikia kuandika kuwa wao wapo kipesa zaidi, yaani mashilawadu waongeee
lakini anachotazama na mwanae ni pesa tu, akimaanisha suala la mwanae kumzalisha zari na kumwacha hilo sio la msingi sana, hatarii, chunga sana mwanashilawadu pata fundisho hapa..!!
Post a Comment
Post a Comment