const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); TzTown Tv: 'Majaliwa' waliotafuna mamilioni ya Unicef Makete watafute - HABARI MPYA

..

TzTown Tv: 'Majaliwa' waliotafuna mamilioni ya Unicef Makete watafute


WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemuagia mkuu wa mkoa wa Njombe Kufuatilia watu wanao daiwa kutafuna fedha za serikali na kupeleka taarifa maramoja licha ya kuwapo kwa taasisi ambazo zimefuatilia sakata la watumishi wilayani Makete kufafuna fedha za umma na wao kuto rudisha Ripoti.

Waziri Majaliwa anasema kuwa serikali haita kubali fedha za Umma zinatafunwa kama zaidi ya milioni 300 wilayani Makete na kuendelea kuwata watumishi wa wa idala zinazo husika ili kufuatilia pesa zilivyo liwa na lipoti kumtumia.

Hizi ndio faida za Mkubwa kukupitia katika eneo lako, Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka anatoa yake ya liyopo mkoani kwake ambayo ni pamoja na haya.

Haya yanaibuka wakati wa kufunga ziara ya Waziri mkuu mkoani Njombe ambapo amekuwa mkoani Humio kwa siku sita zilizo hawanyika mara mbili siku tatu na tatu zingine ambapo amepita katika halmashauri zote za mkoa wa Njombe.

Baada ya kumsikia mkuu wa mkoa waziri mkuu anasema serikali yake haiwezi kukubari pesa kuliwa kirahisi anatoa agizo kwa mkuu wa mkoa.

Kuhusu maji agizo la kutazama wanao kata miti na kupanda Waziri Mkuu anatoa agizo kwa wasimamizi wa misitu ili kwenda kuangaliwa misitu hiyo ikiwa ni mkakati wa kutunza vyanzo.

Waziri mkuu akiwa mkoani Njombe alilenga kupitia katika migodi, viwanda na kutembelea miradi mbalimbali ya kijamii ambapo anafurahishwa na kazi za kufanya miradi na kuwahakikishia wananchi kuwa barabara zote zitafunguliwa na waziri anaondoka mkoani humo.

Related Posts

Post a Comment