Serikali mkoani Arusha imewataka wananchi na taasisi zinazoendelea kutoa rambirambi kwa familia za wanafunzi waliofariki katika ajali ya basi la wanafunzi kufuata taratibu zilizowekwa ili kuepusha migongano isiyo ya lazima. Aidha amesema serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga likiwemo la vifo vya wanafunzi na amesisitiza umuhimu wa kila mmoja kufuata sheria taratibu na maelekezo yanayotolewa na serikali.
const adkPushParams = {
host: 'push.bvsrv.com',
channelId: 128,
pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4'
};
importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js');
POPULAR POSTS
- Gigy Money: Wema Sepetu ni Mwanamke Feki (Video)
- MAMBO YA KUZINGATIA KABLA NA BAADA YA KUNG'OA JINO
- VIDEO: Maajabu, Mwanaume Ajifungua Mtoto Nchini Marekani Kwa Kupitia Uume Wake
- RONALDO ATHIBITISHA JUU YA TETESI ZA MPENZI WAKE KUWA NA UJAUZITO WA MTOTO WA NNE
- MITINDO YA NYWELE KWA KINA DADA
- Idris Sultan asimulia nafasi aliyocheza kwenye filamu ya Kiumeni
- Sasa Unaweza Kurudisha Files Ulizofuta kwa Bahati Mbaya Katika Simu Yako!
- TAZAMA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI HAPA BOFYA JUU YA SHULE YA MWANAO
- MAPIPA YA SUMU YADAKWA MGODINI HUKO MKOANI MOROGORO

Post a Comment
Post a Comment