MAMBO 6 Ambayo Ukiyafanya Kamwe Hutapata Ugonjwa wa Kuhara..!!!



Kuharisha ni ugonjwa ambao husababishwa na vimelea (bacteria) ambao huenezwa na hali ya uchafu (inzi). kwa hiyo kama kama utafanya yafutayo basi huwezi pata tatizo hilo.

1. Kuzingatia usafi wa choo


2. Kunawa mikono kila baada ya kutoka chooni


3. Kuosha vyombo vizuri na kuvihifadhi sehemu safi


4. Kuosha matunda kabla ya kula


5. Kunywa maji safi na salama (yaliyochemshwa)


6. Kunawa mikono kila unapohitaji kula chochote

Related Posts

Post a Comment