CCM Wamteua DR Gertrude Rwakatare Kuchukua Nafasi ya Sophia Simba Aliyefukuzwa

Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare ameteuliwa kuwa Mbunge Viti Maalumu(CCM) kuchukua nafasi ya Sophia Simba aliyefukuzwa uanachama.
Ikumbukwe kuwa kwa mara ya kwanza Mchungaji Rwakatare alipata nafasi kama hii katika Bunge lililopita.
Uteuzi huu umekuja baada ya Spika wa Bunge kuiandikia barua ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) na kuiarifu juu ya uwepo wa nafasi ya Ubunge Maalum kwa upande wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) baada ya Sophia Simba kupoteza sifa za kuwa Mbunge baada ya kuvuliwa uanachama.

Related Posts

Post a Comment