const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Baada ya Kuwa Kimya na Ubize wa Kunyonyesha Zari Aibuka Kivingine kwa Staili Hii Mpya..!!! - HABARI MPYA

..

Baada ya Kuwa Kimya na Ubize wa Kunyonyesha Zari Aibuka Kivingine kwa Staili Hii Mpya..!!!

Changamoto kubwa aliyonayo mwanamke baada ya kujifungua mtoto ni kulirudisha umbo lake katika ubora wake

Na kwa wanawake ambao uzuri na muonekano wao ni kipaumbele cha kwanza, hali huwa tete zaidi. Lakini si kwa Mrs Chibu Dangote, Zari the Bosslady ambaye ameonesha kufurahia jinsi alivyorudi kwenye reli fasta.

Amepost picha za muonekano wake wa miezi mitatu na nusu tangu apate mtoto wa pili na Diamond na so far yeye mwenyewe anaridhika na maendeleo ya umbo lake huku pia akitoa tips kwa wanawake wengine.

“You can achieve it if you put your mind onto it then implement it. #HerbalLife #Snapback 3months and a half… yes you can do it,” ameandika kwenye selfie aliyoiweka Instagram.

Kwenye picha nyingine ameandika, “diets needed, am a typical African woman who loves her food, just learn how to eat right, exercise and drink lots of water for your skin.”

Hakuacha kuwapa ‘haters’ vidonge vyao pia, “They will need respirators trying to keep up with me. I have no brakes so I ain’t stopping soon @GrindMode.”

TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA

Related Posts

Post a Comment