Breaking News: Maneno Mazito ya Rais Magufuli Kuhusu Kifo cha Mwanafunzi Soma hapa


Katika Account yake Rais magufuli ameandika maneno haya kufuatia kifo cha mwanafunzi juzi “Nimesikitishwa sana na kifo cha mwanafunzi Akwilina Akwilini wa Chuo cha Usafirishaji (NIT).Natoa pole kwa familia,ndugu,wanafunzi wa NIT na wote walioguswa na msiba huu.Nimeviagiza vyombo vya dola kufanya uchunguzi na kuwachukulia hatua za kisheria waliosababisha tukio hili.”

Related Posts

Post a Comment