const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Akamatwa kwa kuwapatia wanawake 700 mimba ‘feki’, kila mmoja alimlipa TSh. 74,000 - HABARI MPYA

..

Akamatwa kwa kuwapatia wanawake 700 mimba ‘feki’, kila mmoja alimlipa TSh. 74,000

Mwanamme aliyefahamika kwa jina la N’na Fanta Camara amekamatwa na polisi nchini Guinea kwa kuwalaghai wanawake ambao hawana uwezo wa kupata watoto kuwa angeweza kuwasaidia kupitia dawa za asili.

Mganga huyo wa kienyeji aliwapatia wanawake hao dawa ya kienyeji ambayo ilisababisha matumbo yao kujaa na kuonekana kama wajawazito. Baadhi ya wanawake walisema kuwa walionekana kuwa wajawazito kwa kati ya miezi 12 na 16.

Kutokana na huduma hiyo wagonjwa walilipa dola 33 sawa na Tsh. 74,000. Zaidi ya wanawake 700 walio umri kati ya miaka 17 na 45 itaelezwa alipatiwa matibabu hayo.

Wanawake hao walisema kuwa Bi Camara aliwashauri wasimuone daktari, na mara alipothibitisha kuwa wamekuwa wajawazito walistahili kumpa kuku na vitambaa kama njia ya kumshukuru.

Related Posts

Post a Comment