AUDIO: GIGY MONEY AWEKA WAZI SIRI YA KUCHEPUKA NA DIAMOND PLATNUMZ


Muuza sura kwenye video za wasanii mbalimbali hapa nchini, Gigy Money ametoboa siri kwamba anamtamani mwanamuziki Diamond Platnumz nz kwamba kama yupo tayari atamchukua mateka.

Gigy Money alifunguka hayo alipokuwa akihojiwa na Soud Brown wa Clouds Fm kupitia kipindi cha XXL ambapo alisema haijalishi kama Diamond yupo kwenye uhusiano, ila akimkubali atamuweka mateka.

Zaidi alisema kuwa ana siri kubwa kuhusu yeye na Diamond na kwamba hawezi kuisema kwa sasa kwa sababu akishaisema haitakuwa siri tena. Msikilize hapa chini;

Related Posts

Post a Comment