Live: Yanayojiri Bungeni Dodoma Leo Juni 8, 2017

Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma, katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo Juni 8, 2017..


Asuhi hii, Waziri wa Fedha Dk Mpango atawasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi ya nchi, ambayo itajikita katika kueleza mipango ya maendeleo kwa mwaka ujao.

Tazama Hapa Chini:


ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

Related Posts

Post a Comment