const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); KIMENUKAA..Meya wa Arusha Aibuka na Kufichua Mazito kuhusu Jinsi Mkuu wa Mkoa Arusha Alivyotafuna Pesa za Rambirambi za Msiba wa Wanafunzi 33..!!! - HABARI MPYA

..

KIMENUKAA..Meya wa Arusha Aibuka na Kufichua Mazito kuhusu Jinsi Mkuu wa Mkoa Arusha Alivyotafuna Pesa za Rambirambi za Msiba wa Wanafunzi 33..!!!

Kalisti Lazalo meya wa jiji la Arusha amemshukia mkuu wa mkoa wa Arusha, Mrisho Mashaka Gambo kueleza umma fedha za rambirambi zilivyochangwa na Watu mbalimbali yakiwemo makampuni na taasisi za umma anazodaiwa kuzitafuna.

Fedha hizo zinadaiwa kufikia sh, milioni 300,hivi karibuni aliwatangazia wanahabari kuwa wahanga wa tukio hilo la Ajali kila mmoja amepata kiasi cha sh,milioni 3.8 matokeo yake baadhi yao waliambulia sh,milioni 2.8 hatua ambayo imezidi kunogesha utafunaji wa fedha hizo .

Wakazi wa Arusha wamemtaka Gambo kurejesha mamilioni ya wahanga hao aliyoyatafuna .
Meya ametoa siku tatu kwa Gambo kutoa ufafanuzi wa jambo hill kabla ya jtano na akishindwa ,ataweka wazi fedha zilizotafunwa kwani anajua wrote waliochangia na kiasi cha fedha kilichopatikana.

Related Posts

Post a Comment