const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Zijue Tabia za Wanaume Wanaotumia Mitandao ya VODA/AIRTEL/TIGO na HALOTEL..!!! - HABARI MPYA

..

Zijue Tabia za Wanaume Wanaotumia Mitandao ya VODA/AIRTEL/TIGO na HALOTEL..!!!

Hii ni maalum kwa akina dada kujua tabia za wanaume wanaotumia mitandao ifuatayo.
VODACOM

~Wanaume wa mkoa huu ndio mtandao wao mkuu. Yaani hapa huwaambii kitu kabisa
~Wanaume wengi wanaotumia voda ni bahili sana
~Unatumiwa na wanaume wengi wanaofanya biashara za kati na ndogo ndogo 
~Unapendwa sana na wanaume wa mikoa ya kaskazini
TIGO

~Ni mtandao unaotumiwa zaidi na vijana hasaa wanafunzi wa sekondari na wale wachuo
~Kama wewe ni mwanamke mchunaji mwenzangu hapa kupata vibuzi vya maana ni ngumu
~Ni mtandao unaopendwa na wanaume wa kipato cha chini 
~Wanaume wa tigo wengi ni vijana wapenda miteremko na ofa za bure

AIRTEL

~Ni mtandao unaopendwa na wanaume wa mkoa wachache hasaa wale wa mkoa wa mara na wale wanaotoka bukoba akina Rweyemamu
~Mtandao huu unapendwa sana na wanaume wasomi
~Ukipata buzi hapa umelamba dume kwani sifa ya wanaume wa mtandao huu sio bahili

HALOTEL

~Unapendwa na vijana wengi wapenda miteremko na ofa za bure
~wanaume wengi wanatumia mtandao huu huwa na macho mekundu kutokana na kukesha usiku sababu ya kupenda ofa za Data
~Ni ngumu kupata kibuzi cha maana humu

Tuandikie na Wewe Uzoefu Wako Juu ya Suala Hili...!!!

Related Posts

Post a Comment