const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Wakazi wa Njombe wahimizwa kuchangia damu - HABARI MPYA

..

Wakazi wa Njombe wahimizwa kuchangia damu

Katibu Tawala wilaya ya Njombe, Joseph Chota amewahimiza wakazi wa mkoa wa Njombe kujitolea kuchangia damu salama ili kusaidia watu wenye mahitaji.

Akizungumza kwa niaba ya mkuu wa mkoa katika maadhimisho ya wiki ya matendo ya huruma ya kanisa la Waadventista Wasabato mkoni Njombe, Chota amesema damu itakayochangwa pia itasaidia kukabiliana na tatizo la uhaba wa damu salama katika bohari za dawa hospitalini.

Waumini wa kanisa la Waadventista Wasabato Duniani kote huadhimisha siku ya matendo ya huruma kwa kuisaidia jamii kutatua changamoto mbalimbali ikiwa ni sehemu ya ibada na kumtukuza Mungu.

TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA

Related Posts

Post a Comment