const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Magonjwa 10 hatari yanayotibika kwa kutumia mbegu za maboga. - HABARI MPYA

..

Magonjwa 10 hatari yanayotibika kwa kutumia mbegu za maboga.



Mbegu za maboga zina protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya zinki, kopa, maginizia, manganizi na chuma, mbegu za maboga ni tamu na zinaweza kutafunwa nyakati zozote na mahali popote hasa kwa wapenda kutafuna-tafuna kama mimi. Tafiti mbalimbali zimethibitisha pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida nyingi kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi ya 10 yafuatayo:

1. Ugonjwa wa moyo

2. Huimarisha kinga ya mwili

3. Huongeza uwezo wa macho kuona

4. Kinga ya kisukari

5. Dawa bora ya usingizi

6. Dawa bora ya uvimbe

7. Huongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha

8. Dawa nzuri kwa matatizo ya tezi dume

9. Zinaongeza nguvu za kiume

10. Zinaondoa pia msongo wa mawazo (stress)



Namna nzuri ya kula mbegu za maboga:
Unaweza kula zikiwa kavu na ndiyo utapata faida nyingi zaidi ingawa mimi napenda kuzikaanga kidogo kama dakika 15 hivi na huwa nazichanganya na maji ya chumvi ya mawe ya baharini kidogo kwa mbali ili kupata radha.


Unahitaji ujazo wa kiganja kimoja cha mkono wako cha mbegu za maboga kwa siku ujazo wa kama nusu kikombe cha chai hivi kwa siku.

Related Posts

Post a Comment