const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Lady Jay Dee Afunguka Mahaba yake Kwa Hamorapa...Adai Watu Wamuache Afanye Kazi - HABARI MPYA

..

Lady Jay Dee Afunguka Mahaba yake Kwa Hamorapa...Adai Watu Wamuache Afanye Kazi

LadyJaydee amefunguka kuhusu #Harmorapa ambaye amekuwa akiteka vichwa vya habari kutokana na stori zake zikiwemo nyingi za kuvunja mbavu.

#Jaydee amekiambia kipindi cha FNL cha EATV kuwa haoni tatizo kwa rapper huyo chipukizi kwa kuwa kila msanii ana njia zake ambazo anatumia za kufikisha sanaa yake inapotakiwa kufika.
#Ladyjaydee👉 “Tumuache afanye yake, unajua kila mtu ni ambavyo anaweza kuiwakilisha sanaa yake, kwahiyo mimi naona yuko poa,” ..
.
.
#Jide ameongeza kuwa alifurahi sana baada ya kuona clip ya video ikimuonyesha #Harmorappa akitoka nduki baada ya mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kuonyeshewa bastola Alhamisi hii.
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA

Related Posts

Post a Comment