const adkPushParams = { host: 'push.bvsrv.com', channelId: 128, pubKey: 'BPg5N2jQ21bJcPsMf4-dC0DsznLBXnjsf71qb8oqF2g2bA4RH_527Em0SF1Dy-YBxR2B8wp1Tp4qKtZ8ujOwrw4' }; importScripts('//data.bvsrv.com/webpush/scripts/v1.1/sw.js'); Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika miaka 28. - HABARI MPYA

..

Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika miaka 28.

1. Jifunze kuweka akiba ya fedha.

2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye.

3. Acha kuishi na wazai au kupanga nyumba na washikaji.

4. Achana na starehe zisizo na maana.

5. Jali sana afya yako.

6. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo.

7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani n.k.

8. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza.

9. Acha mambo ya kitoto.

10. Zingatia sana muda wako.

Related Posts

Post a Comment