Diamond Afunguka Baada ya Zari Kumtembelea Ivan,Amtaka Zari Aache Kupost Kila Kitu Mtandaoni..!!!

Daiamond amesema ni kitu poa kumtembelea kwa kuwa ni ubinadamu na hata akihitaji fedha za matibabu atampa, hajawahi kuwa na ugomvi nae ila wapambe wake ndio wanashadadia
Pia anamwambia Zari aache kuweka kila kitu mtandaoni maana anaonekana anatafuta kiki

Related Posts

Post a Comment