MAJARIBU ya Wanawake Kwa Wanaume Kama Wanafaa Kuwa Nao Kimapenzi Mengi Hutoa Majibu Yasiyo Sahihi

Wanawake huaga wanawajaribu wanaume kwa majaribu fulani ili waweze kujua kama wanaune hao wanafaa kuishinao, bila ya kupima au kufanyia tafiti kama hayo majaribu yao wanayo yatumia kama yapo ndani ya uwezo wa wanaume hao, madhara ya udhaifu ya majari yao ni kwamba, hawawezi kujua kama wanadanganywa, kwasababu huaga hawajui uhalisia wa maisha ya mjaribiwa,

Pili huaga wanawapoteza watu muhimu, kwasababu huaga wanawafanyia majaribu wanaume bila kujua kama majaribu hayo yapo ndani ya uwezo wao, wanaume huonekana kama wameshindwa kumbe huaga hawajashindwa kiuhalisia, yaani huaga wanashindwa kwasababu majaribu huaga makubwa kwao kuliko uwezo wao kwa wakati huo...

Unakuta mwanamke anamjaribu mchumba wake labda amnunulie kitu fulani cha gharama lakini mwanaume kwa wakati huo anakuta anamajukumu mengine kama kujenga ama mengine basi mvulana akishindwa kutimiza anaonekana hafai na kukimbilia kwa mwingine ambae anaweza kumpa hivyo vitu vya starehe ya muda na kumuacha mwanaume potential ambae labda angevumilia wangefanya maisha pamoja....

Mwanaume Hajaribiwa Bwana....

Related Posts

Post a Comment