Maneno Ya Harmonize baada Ya Zari Kumuacha Diamond Yafichua siri Nzito Kumbe ndo mchezo wao

February 14, 2018 mitandao ya kijamii ilichangamka sana baada ya post ya mzazi mwenza na Diamond Platnumz, Zari the Boss Lady kupost ua na ujumbe mzito wa kuachana na Diamond kitu ambacho baadae Harmonize amekuja kupost video fupi ya utani kuhusu hilo.

Harmonize amepost video hiyo inayomuonesha akiwa kwenye chumba cha kulala na mwanamke huku akiimba wimbo wa kuachwa na kisha kwenda kwenye ua huku akiliambia lile ua lisije kubadilika likawa jeusi, hata hivyo zari alipost ua lililobadilika rangi kutoka jekundu na kuwa jeusi.

Related Posts

Post a Comment