Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao,
1 Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2 Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui kubembeleza hata kidogo
3 Wasichana wenye DIMPOZ, MWANYA, MATEGE MBINUKO, MAHIPS NA KITHEMBE, hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi.
4 Wasichana WANENE huongoza kwa MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kweli
5 Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!
6 Wasichana wenye NGOZI NYEUSI wanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe
7 Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe wengi wao huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kuliko wanaume weusi.
Je kuna ukweli hapo?
Post a Comment
Post a Comment